iqna

IQNA

sheikh sabri
Quds Tukufu
IQNA - Sheikh Ekrima Sabri, mhubiri wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), aliitwa na mamlaka ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhojiwa siku ya Jumapili.
Habari ID: 3478052    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mkuu wa Kipalestina Sheikh Sabri ameelezea kuunga mkono maandamano ya al-Quds (Jeruslame) inayokaliwa kwa mabavu ambayo yameitishwa kupinga mitaala ya elimu ambayo inalazimishwa na utawala haramu wa Israel katika shule za Wapalestina.
Habari ID: 3475811    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemkamata Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473722    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/10